Posts

Showing posts from October, 2023

WEKA ODA YAKO MAPEMA

Image
  TECNO inaendelea kutoa simu za kisasa zenye teknolojia ya hali ya juu. Leo, tuko hapa kujadili habari njema zilizosikika kwa wapenzi wa simu za kufunguka,PHANTOM V FLIP inapatikana kwa kuweka oda mapema,kuanzia tarehe 15 mwezi wa kumi mpaka tarehe 15 mwezi wa kumi na moja mwaka 2023, kwa bei ya punguzo la asilimia kumi kwa kufanya malipo ya 50000Tshs kama kianzio na kushikilia. Simu hii ya TECNO iliofanikiwa kuvunja anga za za Teknolojia kwa yeyote ataefanikiwa kuweka oda mapema atapata ofa ya zawadi na kifurushi kabambe kutoka TIGO cha GB 96 kutumika mwaka mzima kwa wateja wote wataofanikiwa kuweka oda ya kabla ya tarehe 15 mwezi wa kumi na moja. Kuhusu utendaji, PHANTOM V Flip inajivunia kamera yenye kipimo cha megapikseli 64 na uwezo wa kuzidisha picha hadi mara 10 kwa kutumia zoom ya dijiti, na pia ina betri yenye uwezo wa 4000mAh na malipo ya haraka ya 45W, kuhakikisha unaweza kucheza michezo au kuhimili matumizi marefu bila tatizo. Weka oda sasa ufurahie uwezo wake. Jinsi...

TECNO KUDHAMINI Michuano ya TotalEnergies CAF Africa Cup of Nations Cote d’Ivoire 2023

Image
  Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) na kampuni ya teknolojia ya kimataifa TECNO Mobile wamesaini makubaliano ambayo yanafanya TECNO Mobile kuwa mmoja wa wadhamini rasmi wa TotalEnergies CAF Africa Cup of Nations Côte d'Ivoire 2023. Kwa makubaliano hayo, TECNO Mobile itakuwa mshirika pekee wa simu za mkononi katika michuano hiyo. Makubaliano hayo yalisainiwa rasmi tarehe 21 Septemba 2023 wakati wa sherehe iliyofanyika Singapore na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa CAF, Bwana Véron Mosengo-Omba, huku yakimaanisha mwanzo mpya wenye matumaini wa ushirikiano kati ya taasisi hizo mbili. Rais wa CAF Dr. Patrice Motsepe alionyesha furaha yake kuhusu makubaliano mapya ya udhamini kati ya CAF na TECNO Mobile. Alisisitiza kwamba ushirikiano huu una umuhimu mkubwa kwa sababu unapambana na bara la Asia na Afrika, ambayo pamoja yanajumuisha idadi kubwa na vijana zaidi duniani. Dr. Motsepe alitambua uwepo mkubwa wa TECNO Mobile barani Afrika na kueleza hamu ya kuanzisha ushirikiano wenye manufaa kwa...