UZINDUZI WA DUKA EXCLUSIVE LA TECNO JIJINI MBEYA
Ugonile watu wetu wa Mbeya, habari njema ni kwamba! TECNO, kampuni maarufu ya simu za mkononi, imefungua duka jipya la kipekee, ikiashiria upanuzi mkubwa wa mauzo ya rejareja, lililopo mkabala na benki ya NMB hapa Soweto Duka hili linalenga kubadilisha uzoefu wa ununuzi wa simu za mkononi katika mji huo. Kwa muundo wake wa kuvutia na huduma za kisasa, shukrani zetu zimuendee Juma Zuberi Homera afisa utamaduni kwa kukaribia kama mgeni rasmi katika uzinduzi huu mkubwa wa duka jijini Mbeya. Duka hili jipya laTECNO linawapa wateja fursa ya kipekee ya kupata simu mbali mbali za TECNO, kutoka toleo la hali ya juu hadi toleo la kawaida. Kuna simu za CAMON zenye utendaji bora, SPARK zenye mtindo wa kipeke, bila kusahau toleo la POP. Wafanyakazi wanaohudumu ni marafiki na wanakusaidia kupata simu bora kulingana na mahitaji yako. L akini duka hili pia ni kituo kushirikiana na jamii kwa ukaribu zaidi TECNO inawaalika wapenzi wote wa teknolojia kuja na kuchunguza mustakabali wa kidigitali, ...