UZINDUZI WA TECNO CAMON 30 AZAM TV

Wapendwa Watanzania, mkae mkao wa kula kwa sababu TECNO msimu huu tuna habari kubwa na njema, ya kwamba tuna furaha kubwa kutangaza kwamba kutakua na uzinduzi mkubwa wa TECNO CAMON 30 utakaoonyeshwa moja kwa moja kwenye kipindi chako pendwa cha televisheni  kupitia AZAM SPORT 1.

 
 

Tunakuahidi mdau wetu tukio hili litakua la kipekee kabisa tunapozindua simu yetu mpya ya TECNO CAMON 30 .Jiunge nasi tunapowasilisha sifa za ubunifu, muundo wa kuvutia, na utendaji wa kipekee wa CAMON 30 hasa upande wa camera ikishirikiana na SONY kuifanya iwe bora zaidi tukitarajia kubadilisha kabisa uzoefu wako juu ya simu za mkononi.


Kama wewe ni mpenzi wa teknolojia, mpenzi wa picha, au una hamu kuhusu kile kitakachokuwa kikubwa katika ulimwengu wa simu za mkononi usikae mbali na luninga katika kipindi cha AZAM sports 1 kwa ajili ya taarifa zaidi, hili ni tukio ambalo sio la kukosa.

Jiunge nasi tarehe 05, mwezi huu wa tano, saa 1 usiku ili uwe miongoni mwa watakaofanikiwa kuoda simu na kupokea zawadi siku pale utakapofika dukani kununua simu yako ya TECNO CAMON 30, ili uwe wa kwanza kushuhudia uzinduzi huu.




Kaa tayari kujionea utofauti, na kwa taarifa zaidi tukihesabu kuelekea uzinduzi huu mkubwa wa simu yetu ya mkononi mwaka huu. Jipange kuboresha uzoefu wako wa simu za mkononi na ujionee utofaut.

Comments

Popular posts from this blog

NYAKUA CAMON 20 KWA MKOPO

NUNUA TECNO SPARK 10 PRO UPATE TECNO K17 BURE

JIPATIE PHANTOM X2 KWA MKOPO